Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zitto Kabwe akamatwa, Mbunge Bwege na wengine 5

Jumanne , 23rd Jun , 2020

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amekamatwa leo Juni 23, 2020, na Jeshi la Polisi wakati akiwa kwenye kikao cha ndani cha kupokea Madiwani 8 waliojiunga na chama hicho wakitokea chama cha Wananchi CUF katika Jimbo la Kilwa Kusini.

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, na kulia ni Mbunge Mstaafu wa Kilwa Kusini Selemani Bungara (Bwege).

Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho Ado Shaibu, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kusema kuwa hajakamatwa peke yake bali na viongozi wengine wa chama ambao waliambatana kwa pamoja.

"Ndugu Zitto alikuwa Kilwa Kusini kwenye ziara ya kupokea madiwani 8 wa CUF, ambao wamejiunga na chama chetu na leo walikuwa wanakabidhiwa kadi, Polisi wamevamia na wameondoka naye pamoja na Mbunge Bwege na viongozi kadhaa wa Kitaifa, hivyo jumla ni 7, wapo kituo cha Polisi Kilwa tunaendelea kufuatilia sababu na kwanini jambo hilo limetokea" amesema Ado Shaibu.

Taarifa kamili inafuata.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava