Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Zitto mshirikina, Mbowe anauguliwa - Makonda

Jumanne , 24th Mar , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amewataka wananchi kusikiliza kauli za Serikali juu ya namna gani watajikinga na kupata maambukizi ya Virusi vya Corona na waachane na wanasiasa kama kina Mbowe kwa sababu wao wanangoja ndugu zao waugue na wao ndio wasitishe mikutano yao.

Mbunge Zitto Kabwe, Freeman Mbowe na RC Dar es Salaam Paul Makonda.

Makonda ameyabainisha hayo leo Machi 24, 2020, wakati wa ziara yake maalum katika stendi ya Mabasi yaendayo mkoani ya Ubungo.

"Tusikubali kupokea ushauri na ushawishi wa wanasiasa uchwara kama kina Mbowe kwa sababu asingeugua mtu wa familia yake aliyetoka nje akaja na huo ugonjwa mngeingizwa kwenye mikutano na kuleta mvutano na Dunia ingeona Tanzania haina demokrasia, mkiacha kuwasikiliza watalamu wa afya na kuwasikiliza waganga wa kienyeji na washirikina kama kina Zitto Kabwe kazi kwako" amesema Makonda.

Jana Machi 23, 2020, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, alitangaza kusitisha kufanya mikutano yake ya hadhara nchi nzima, ambayo alitangaza kuianza Aprili 4.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava