Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zitto Kabwe ashangazwa na Waziri Mkuu

Jumapili , 23rd Sep , 2018

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amedai ameshangazwa na kitendo cha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kushindwa kutoa tamko la kuwaadhibu watu waliohusika kwa namna moja ama nyingine katika ajali ya MV. Nyerere hadi dakika hii na badala yake amebakia kuwasifia wakina Mongella na Kamwele.

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe akiwa upande wa kushoto, Waziri Mkuu Kassima Majaliwa (kulia).

Zitto ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa kijamii wa twitter mchana wa leo ikiwa umepita muda mchache tokea kumalizika kwa zoezi la uzikaji miili ya wahanga wa ajali ya kivuko cha MV. Nyerere iliyotokea Septemba 20, 2018 katika kisiwa cha Ukara mkoani Mwanza.

"Kwamba mpaka dakika hii hakuna aliye wasilisha barua ya kujiuzulu, Rais hajawajibisha mtu, badala yake Waziri Mkuu anawapongeza kina Mongella na Kamwele kwa kazi kubwa waliofanya. Kazi ya kuacha KUOKOA na kufanya uopoaji, Waziri Mkuu tunakuheshimu sana lakini kwenye hili si sawa", ameandika Zitto.

Ajali ya kivuko cha MV. Nyerere kilichozama Septemba 20, 2018 kimesababisha takribani watu 224 kufariki ambao kwa sasa wamezikwa katika makaburi ya pamoja yaliyopo viwanja vya shule ya sekondari ya Bwisya mita 250 kutoka gati la Bwisya.

Hadi sasa serikali imeshaanza kuchukua hatua madhubuti ya kukitoa kivuko hicho majini kwa kutumia burudoza lililowasili katika kisiwa cha Ukara, wilayani Ukerewe na limeanza zoezi la kuvuta kivuko hicho katika Ziwa Victoria, na kukipeleka nchi kavu ambapo zoezi hilo linatarajiwa kukamilika kwa muda wa wiki moja tokea sasa.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto