Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

60 waishia mikononi mwa polisi Kilimanjaro

Jumatatu , 15th Feb , 2021

Watu 60 wakazi wa wilaya ya Rombo wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Kilimanajaro kwa tuhuma za utengenezaji wa pombe haramu ya gongo na usafirishaji wa madawa ya kulevya aina ya bangi na mirungi.

Katikati ni Mkuu wa operesheni maalumu za jeshi la polisi Tanzania kamishna msaidizi mwandamizi Mihayo Msikhela na Kushoto ni Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa kilimanjaro Ronald Makona

Mkuu wa operesheni maalumu za jeshi la polisi Tanzania kamishna msaidizi mwandamizi Mihayo Msikhela amesema watu hao wamekamatwa na lita 500 za pombe haramu ya gongo na zaidi misokoto 2300 ya bangi.

"Tumefanikiwa kukamata watuhumiwa takribani 60 vielezo vilivyopatikana ni gongo ambayo ni lita 549.2 , mitambo ya kutengeneza gongo ambayo ni 18, mapipa matupu 112, pikipiki 4, madumu tupu 38  ya lita 20 yenye rangi ya njano, ndoo mbili tupu za lita 20 , mirungi kilo 68.8, misokoto ya bangi 2340, mazao ya misitu ambayo ni mbao 497" amesema kamishna msaidizi mwandamizi Mihayo

Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa kilimanjaro Ronald Makona akazungumzia zoezi hilo ambalo amesema ni endelevu kwa wilaya zote za mkoa wa kilimanjaro na tiyari wana majina ya watu amabo wanaendelea kuwaorodhesha kwenye orodha yao na wataendelea kuwasaka mpaka pale watakapopatikana.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava