Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwingine Tume ya Uchaguzi auawa

Jumapili , 20th Aug , 2017

Jeshi la Polisi Kauti ya Siaya  nchini Kenya limeutaka umma kuacha polisi kufanya kazi yao juu ya uchunguzi wa kifo cha aliyekuwa  msimamizi msaidizi katika uchaguzi mkuu wa Kenya uliofanyika Agosti 8 baada ya mwili wake kukutwa akiwa ameshafariki. 

Mkuu wa Polisi katika Kaunti ya Siaya, Sarah Duncan alisema uchunguzi unaendelea na upelelezi wa awali unaonesha kuwa marehemu aliyejulikana kwa majina Caroline Odinga alibakwa na watu wengi na sehemu zake za siri pamoja na sikio moja kukatwa vibaya.

Mkuu huyo wa polisi alisema pia Mwili huo ulikutwa katika soko la Sega Jumamosi asubuhi na watu waliokuwa wakielekea katik amazishi ya Mkurugenzi wa TEHAMA wa IEBC, Chris Msando katika kijiji cha Lifunga.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo taarifa zinasema kwamba Familia ya Bi. Odinga inadai kuwa mara ya mwisho marehemu alitoka nyumbani akielekea kudai malipo yake kwa kazi aliyofanya ya usimamizi katika uchaguzi mkuu ulioisha.

Bi Odinga ambaye pia ni Mwalimu wa Ugenya High School alikuwa msimamizi msaidizi akifanya kazi na IEBC katika uchaguzi Mkuu wa Kenya mnamo Agosti 8 mwaka huu.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi

Wasimamizi wa uchaguzi waongezwe posho - Katambi