Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namthamini yaipiga jeki Kisarawe kuinua elimu

Jumapili , 11th Oct , 2020

Wilaya ya Kisarawe imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali za kuinua elimu ya mtoto wa kike zikiwemo za kutenga fedha kwa ajili ya kuwanunulia taulo za kike pamoja na kujenga shule ya sekondari ya bweni ya wanafunzi wakike.

Timu ya East Africa Tv na Radio ikimkabidhi Taulo za kike Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani yaliyofanyika kwenye shule ya Sekondari Minaki.

Mwegelo amesema  halmashauri imekuwa ikitenga fedha za kununulia taulo za kike ambapo mwaka jana ilitenga sh. milioni 4 na mwaka huu sh. milioni 3, jitihada ambazo pia zimekuwa zikiungwa mkono na EATV kupitia kampeni yake ya Namthamini.

Awali akifungua maadhimisho hayo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Kisarawe, Mussa Gama, amesema kuwa wilaya ya Kisarawe bado inakabiliwa na tatizo la mimba za utotoni ambapo hatua mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa kudhibiti hali hiyo.

Kampeni ya Namthamini imefanikiwa kupatikana kwa taulo za kike zinazokidhi mahitaji ya wanafunzi wa kike 300 kwa mwaka mzima, pamoja na vifaa vingine vya shule.

Awali maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kisarawe kwa kushirikiana na EATV kupitia kampeni ya Namthamini yalianzia ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kisarawe hadi shule ya Sekondari Minaki.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava