Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Makalla awapa somo Ma-DC wapya 

Jumatatu , 21st Jun , 2021

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Amos Makalla, amewataka wakuu wa wilaya wapya kwenda kushirikiana na viongozi wengine watakaokutana nao katika maeneo yao ya kazi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Amos Makalla

RC Makalla ametoa rai hiyo leo baada ya kuwaapisha wakuu wa wilaya wapya ndani ya mkoa wa Dar es Salaam katika ukumbi wa Anatoglo.

 Mhe.Fatma Nyangasa akila kiapo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni

“Nendeni mkashirikiane na mtakao wakuta mmoja ya mambo tunalokoseaga sana pale unapohamia unaanza kusikiliza watu, ukifika unaanza kuona kila mtu adui nendeni mkafanye kazi na wote mtakao wakuta katika eneo husika,” amesema RC Makalla.

 Mhe. Kherry James akila kiapo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo

“Sisi tulifika tukaanza kazi hatujataka kujua hapa kuna nani na nani, tunachojali ni nafasi zao na ushauri wao kule mtakapoenda mtamkuta mtandao wa uongozi mzima umekamilika usianze na lako jipya toa ushirikiano mfanyekazi,” amesema RC Makalla.

Aidha, RC Makalla amesisitiza mambo matano ambayo ni kukusanya mapato, kutatua kero za wananchi, kusimamia ulinzi na usalama, kusimamia usafi pamoja usimamizi wa miradi ya maendeleo.

Wakuu wa Wilaya wapya walioapishwa leo ni DC wa Kigamboni Fatma Nyangasa na DC wa Ubungo Kherry James.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto