Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya Kufungwa kwa biashara zaidi ya 600

Jumatatu , 15th Feb , 2021

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imeombwa  kutoa elimu ya mlipa Kodi kwa wafanyabiashara ili kupunguza changamoto zilizopelekea zaidi ya biashara 600 kufungwa kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Baadhi ya wafanyabiashara walioudhuria semina ya elimu ya mlipa kodi iliyokuwa inaendeshwa na TRA , mkoani Geita.

Ombi hilo limetolewa na baadhi ya wafanyabiashara mkoani Geita wakati wa semina ya elimu ya mlipa kodi kwa wafanyabiashara na waandishi wa habari iliyokuwa inaendeshwa na mamlaka hiyo.

Kwa mujibu wa wakili Renatus Malecha amesema kama wananchi wangejua kiasi gani cha kodi wanatakiwa kulipa ingeweza kuwasaidia watu wasiwe wanafunga maduka kwani  kutotoa elimu ndio sababu ya wananchi wengi washindwe kulipa kodi kwa wakati na mara wasipolipa wanotozwa faini na TRA ambayo hounekanana kama kodi.

Aidha Kwa upande wa Meneja wa TRA katika mkoa huo Hashim Ngoda ameeleza sababu iliyopelekewa biashara hizo kufungwa"Biashara zilizofungwa mkoani Geita zipo kama mia sita na sitini hivi kwa mwaka 2020, lakini katika biashara hizo zilizofungwa hakuna hata biashara moja ambayo sababu ya kufungwa kwake ilikuwa ni kodi, waliokuwa na changamoto za kodi tumekuwa tukiongea nao, biashara hizo hazikufungwa kwasababu ya kodi bali kwasababu mbalimbali ambazo zimekuwa zinaandikwa kwenye barua zao" amesema Hashim Ngoda

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa