Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watu 3 wamwagiwa tindikali

Jumatano , 26th Jul , 2017

Watu watatu wa familia moja wamejeruhiwa na kitu kinachodhaniwa kuwa ni tindikali kwa kumwagiwa usoni, kifuani na mikononi mwao tukio lililotokea usiku 3:30 ya tarehe 19.07.2017, eneo la Manga, Mkoani Mbeya.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya DCP Mohammed Mpinga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya DCP Mohammed Mpinga amewataja watu hao kuwa ni Vumilia Shangema (31) ambaye ni mfanyabiashara na mkazi wa Manga akiwa amefuatana na watoto wake wawili Loveness John (11) mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya Msinge Sinde na Nancy Peter (5) ambapo inadaiwa tukio hilo liliwapata wakiwa wanatokea dukani kununua bidhaa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.

Inasemakana wakati wakiwa njiani waliweza kukutana mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Emmy Kyando (40) mkazi wa Sae mkoani humo ambaye inadaiwa kuwa ni mke mwenza wa muhanga wa tukio hilo na mara baada ya kuonana naye walimwagia kimiminika hicho katika sehemu za mbalimbali katika miili yao na baada ya hapo waliweza kupata msaada toka kwa wasamaria wema wa kupelekwa Hospitali ya Rufaa Mbeya kwa matibabu.

Kamanda Mpinga amesema chanzo cha tukio hilo inadaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi dhidi yao, huku akisisitiza kuwa juhudi za kumtafuta mtuhumiwa zinaendelea kwa kushirikiana na mume wake aliyefahamika kwa jina la Lausi Kidagile.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava