Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zifahamu Kata ambazo madiwani wake wamerejeshwa

Jumapili , 13th Sep , 2020

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imezifanyia maamuzi rufaa 46 za wagombea Udiwani, ambapo kati ya hizo imekubali rufaa 24 na kuwarejesha katika orodha ya wagombea, na kukataa rufaa 13 za wagombea ambao hawakuteuliwa, huku pia ikikataa rufaa 9 za kupinga walioteuliwa.

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt Wilson Mahera.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt Wilson Mahera, ambapo amezitaja Kata ambazo madiwani wake wamerejeshwa katika orodha ya wagombea ambazo ni Mtwivila (Iringa Mjini), Kikilo (Kondoa), Makurumula, Hezya, Makorongoni, Bwawani, Jinjimili, Kimnyaki, Lemanyata, Mkwawa, Kisarawe II, Mbadala, Lusungo, Same, Maisaka, Makuburi, Kibada, Maore, Mpanda na rufaa tatu kutoka Kata ya Msindo (Iringa Mjini).

Dkt Mahera pia amezitaja rufaa 13 zilizokataliwa za wale wagombea ambao hawakuteuliwa kutoka katika Kata za Kawajense, Mjini Chirombola, Mabokweni, Chanika, Mwamala, Kiomboi, Mwasenkwa, Old Iramba, Magara, Arri, Chapwa, na rufaa mbili kutoka katika Kata za Kibamba.

Aidha Tume hiyo pia imekataa rufaa 9 kutoka katika Kata za Nonde, Mwagata, Mabibo, Mkimbizi, Kipanga, Nsoho, Ilemi, Bagara na Nkinga.

Idadi hiyo inafanya jumla ya rufaa za wagombea Ubunge zilizofanyiwa maamuzi kufikia 113 na za wagombea 149, na Tume itaendelea kutoa matokea ya maamuzi ya rufaa zote zilizowasilishwa kila siku.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu