Msanii Alikiba na mkewe upande wa kushoto, kulia ni Abdukiba
Akijibu kuhusiana na hilo baada ya kusambaa kwa maneno kuhusu matendo ya video hizo za nyuma ya kamera katika wimbo wa nibakishie ya Nandy ft Alikiba, Abdukiba amesema kuwa
"Siwezi kujibu suala la Ali na mke wake kwa sababu silali nao hivyo sijajua kuna nini, ila kwenye familia hakuna tatizo kwa sababu wanajua sisi ni wanamuziki pia tushapata idhini kutoka kwa Mama ingawa kunaonekana na kuhisiwa kuna matendo tofauti, kazi za mitandaoni hatuwezi kuzijaji na huwezi kumpangia mtu akujibu nini" amejibu Abdu Kiba
Zaidi tazama majibu kamili hapa chini kwenye video.