Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Abdukiba amkingia kifua Alikiba

Ijumaa , 15th Dec , 2017

Msanii Abdukiba kutoka ‘Label’ ya ‘Kings Music’ amekanusha maneno ya watu kuwa bosi wa ‘Label’ hiyo Alikiba ambaye pia ni kaka yake alikuwa akimzuia kwenye muziki. 

Abdukiba amefunguka hayo leo wakati akifanya mahojiano na eNEWZ ya East Africa Television ambapo amesema kuwa Alikiba alikuwa akimtengenezea njia nzuri ya kuja kufanya mziki mzuri na ni mtu ambaye anatakiwa kusikilizwa kwenye game.

Mkali huyo ameongeza kuwa Alikiba alimuambia apumzike kidogo asiachia nyimbo ili akirudi aachie nyimbo nzuri na mashabiki wake watampokea kwa mikono miwili lakini pia watakuwa wamemmisi katika game, hivyo hata kama kutakuwa na changamoto yeyote katika mziki wake itakuwa rahisi kupata maoni.

Abdukiba ambaye anatamba na ngoma yake mpya ‘Single’ aliyomshirikisha Alikiba amesema pamoja na kukaa kimya kwa mda mrefu kwa ushauri wa Alikiba lakini pia kuna mambo yanayohusiana na sanaa yake ambayo alikuwa anayaweka sawa ili mradi kujipanga kwani mziki wa sasa hivi umebadilika na una ushindani mkubwa.
 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90