Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amber Lulu aeleza alivyomshushia kichapo Mwalimu

Jumapili , 15th Sep , 2019

Msanii wa Muziki wa Bongofleva, Amber Lulu, amesema moja ya matukio ambayo anayakumbuka akiwa anasoma Shule ya Sekondari Itigi Mkoani Mbeya, alimshushia kichapo, mwalimu wake kwa kile alichokidai alikuwa anamuonewa.

Amber Lulu ametoa kauli hiyo katika kipindi cha Kikaangoni, kinachorushwa kwenye kurasa za Facebook na Youtube ya East Africa TV, kila Jumatano kuanzia saa 8 na nusu mchana.

"Kuna muda mambo yanakufika hapa, kuna Mwalimu tulizipiga kwa sababu alikuwa ananionea sana, alikuwa anatabia moja kila Ijumaa anaitumia meseji eti usipokuja Shule nakuchapa, kumbe yeye alikuwa ananipenda kimapenzi na mimi nilijua alikuwa ananitaka" amesema Amber Lulu

"Kuna siku Jumatatu nimeenda Shule, yeye akaanza kunitoa mbele kuwa sikwenad Jumamosi, na kipindi hicho ilikuwa hatutakiwi kuchapwa matakoni, basi nikampa mkono akanipiga kwenye makalio, nikagoma nikamrudishia na mimi baadaye nikampeleka hadi polisi." amesema Amber Lulu

Katika kipindi hicho Amber  Lulu amesema yeye wakati anamaliza kidato cha nne alipata ufaulu wa Division 2 ya 34 na kupelekea kuzua gumzo kubwa kwenye mitdao ya kijamii.

Fuatilia mahojiano kamili.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava