Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baada ya kujisalimisha, Wema Sepetu awekwa ndani

Jumatatu , 17th Jun , 2019

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Juni 17  imemtupa mahabusu mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la kukamatwa kwake.

Wema Sepetu

Hiyo imekuja ikiwa ni baada ya siku sita kupita tangu Mahakama hiyo ilipotoa amri ya kumkamata kwa kushindwa kuhudhuria kesi yake inayomkabili mahakamani hapo.

Wema ambaye ni mshindi wa Miss Tanzania 2006, amepandishwa gari la Magereza kutoka mahakamani hapo na kupelekwa gereza la Segerea ambapo inaelezwa kuwa atakaa hadi Juni 24.

Kesi yake itasikilizwa Juni 24, ambapo Mahakama itatoa uamuzi wa kufuta dhamana yake ama la. Amri ya kumkamata msanii huyo ilitolewa Juni 11, mwaka huu na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Maira Kasonde, baada ya mrembo huyo wala mdhamini wake kushindwa kufika mahakamani hapo kwa ajili ya usikilizwaji wa kesi inayomkabili. 

Wema anakabiliwa na kesi ya jinai ya kuchapisha video ya ngono na kusambaza katika mitandao ya kijamii.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava