Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba wa watoto 151,wake 16 aapa kuongeza familia

Jumanne , 11th Mei , 2021

Hii ndiyo maana halisi ya maskini furaha yake ni watoto wake na familia yake, huko nchini Zimbabwe mzee wa miaka Misheck Nyandoro mwenye watoto 151 na wake 16 amesema bado ana mpango wa kuongeza wanawake wengine na watoto wengine.

Picha ya Mzee Misheck Nyandoro na watoto wake

Mzee huyo wa miaka 66 amesema ameanza style hiyo ya kuoa wake wengi kuanzia 1983 amesema ndoto yake ni kuwa na wake 100 na watoto elfu 1, na ndoa yake ya 17 itafanyika majira ya kiangazi.

"Ninachofanya ni kumalizia project yangu niliyoanzisha mwaka 1983, sitaacha mpaka kifo kinichukue, sasa hivi najiandaa na ndoa yangu ya 17 itafanyika majira ya kiangazi, watoto wangu wananisaidia wananipa pesa na zawadi

"Kila mmoja wa wake zangu hunipikia kila siku, lakini kanuni ni kwamba mimi hula chakula kitamu tu, ambacho nitaona chini ya kawaida hutupiliwa mbali wanajua sheria, waliahidi kutokasirika wakati nitapeleka chakula chao kwao. Chochote kinachorudishwa kinapaswa kuwa somo linalowasaidia kuboresha" ameongeza

Aidha mzee huyo amesema kwa usiku mmoja hutumia angalau kulala na wake zake wanne kati ya 16 kwa usiku mmoja.

Chanzo : Fr24 New na Tuko News.

Jionee Ugomvi wa Nay wa Mitego na Mama mtoto wake, bonyeza hapa kutazama
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA