Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baby John afunguka mazito kuhusu jinsia yake

Jumanne , 2nd Mar , 2021

Mwenyekiti wa Tanzania Voice of Humanity Baby John amesema kutokana na changamoto ukamilifu wa viungo vya uzazi wakati wa kuzaliwa kwake ndiyo vinafanya kushindwa kuitwa mwanamke au mwanaume.

Mwenyekiti wa Tanzania Voice of Humanity, Baby John

Akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ ya East Africa TV Baby John  ameeleza kuwa hawezi kusema kama ana jinsia moja au mbili kwa sababu ili uwe una jinsia kama mwanaume au mwanamke lazima kuna baadhi ya viungo uwe navyo mwilini ambavyo yeye hana.

"Kwa kifupi nilizaliwa na changamoto ya ukamilifu wa viungo vya uzazi ambavyo vinafanya kushindwa kuitwa mwanamke au mwanaume, nilivyozaliwa mama yangu alipewa taarifa mbili ya kwanza ni mtoto wa kiume, ya pili wa kike"

"Siwezi nikasema nina jinsia mbili au moja kwa sababu ili uwe na jinsia kuna viungo lazima uwe navyo, kwa mfano mwanamke lazima awe na ovari, uteras na mirija ya uzazi lakini hivyo vyote mimi sina na kwa mwanaume pia hivyohivyo, nimebaki njia panda

Aidha ameongeza kusema watu wenye tatizo hilo huwa wanazaliwa hivyo na hawataweza kushika ujauzito wala kumpa mtu ujauzito.

Zaidi mtazame hapa chini 
 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji