Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ben Pol atafakari cha kumjibu Nay wa Mitego

Alhamisi , 6th Feb , 2020

Mkali wa RnB Bongo, Ben Pol, amepata kigugumizi cha dakika moja  kumjibu Nay Wa Mitego ambaye alimwambia kwamba amepata ganda la ndizi, amesahau muziki na ameolewa nchini Kenya, baada ya kumuona anakula sana bata.

Pichani kushoto ni Ben Pol, kulia Nay Wa Mitego

Nay wa Mitego amesema hivyo kupitia wimbo wake wa ipo sawa, baada ya Ben Pol kula bata sana nje ya nchi akiwa na mpenzi wake Anerlisa Muigai.

Kwa upande wa Ben Pol akijibu tuhuma hizo, ametafakari kwa muda kisha amejibu hana maneno mazuri ya kumwambia Nay Wa Mitego.

"Huwezi amini kwenye bata nililokula sio kama kuna mtu nataka kumkomoa au kutaka kumuonyesha mtu kitu chochote ni ukurasa wa maisha ambao umepita au upo ninaouishi,  cha umuhimu ni kwamba, hakuna dhuluma wala cha haramu au ushenzi wowote unaofanyika, kuhusu Nay wa Mitego mmmhh sina maneno mazuri kwenye hilo na sina cha kumwambia" ameeleza Ben Pol.

Ben Pol ni mmoja wa wasanii ambao wamesafiri na kula bata sana nje ya nchi mwaka 2019, baada ya kuwa kwenye mahusiano na mfanyabiashara maarufu nchini Kenya aitwaye Anerlisa Muigai.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto