Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ben Pol kumuoa Ebitoke ?

Jumamosi , 24th Mar , 2018

Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye inasemekana yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na muigizaji wa vichekesho Ebitoke, amewataka watu kuwa na subira juu ya kujua ukweli uliyopo baina yao kwa madai hakuna jambo linaloweza kufichika milele.

Ben Pol ametoa kauli hiyo baada ya kila kukicha kusumbuliwa na waandishi pamoja na mashabiki zake kiujumla kutaka kujua ukweli juu ya ukaribu wake na mchekeshaji huyo ambaye yeye binafsi anatangaza kuwa yupo kimapenzi na Ben kimapenzi kila aulizwapo na watu.

"Sijawahi kutoka katika mahusiano na Ebitoke yaani kila kitu kipo vile vile hakuna kilichobadilika baina yetu. Siwezi kusema kama nipo kwenye mahusiano naye ila tupo karibu sana", amesema Ben Pol.

Pamoja na hayo, Ben Pol ameendelea kwa kusema "watu wawe wanasubira maana wanauliza sana juu ya hilo lakini mimi ninachoweza kusema watu wawe na subira kila kitu kitakuja kuwa bayana kwasababu hakuna kitu kinachowez kuwa siri milele au kukwepeka kila siku. Wanachotaka kukiona watu watakiona tu wenyewe kwa macho yao kwa hiyo wasiwe na haraka kiasi hicho".

Kwa upande mwingine, Ben Pol jana kupitia EATV ameweza kutambulisha rasmi video ya wimbo wake mpya inayojulikana kwa jina la 'natuliza boli' ambayo mpaka sasa inaendelea kufanya vizuri katika mtandao wake.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu