Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Billnass afunguka alivyoachana na mpenzi wake

Alhamisi , 2nd Jul , 2020

Msanii Billnass amesema hajutii kitendo cha kurudiana na Nandy kwa sababu nguvu ya mapenzi ndiyo imewakutanisha tena pia haikuwa rahisi yeye kuachana na mpenzi wake ili kurudiana na Nandy.

Wapenzi pia ni wasanii Billnass na Nandy

Billnass amesema hawezi kuzielezea sababu zilizofanya kuachana na aliyekuwa naye ili kurudiana na Nandy ila ilitokea tu kuwa hivyo na hajutii kwa sababu yupo sehemu salama.

"Kabla ya bugana hakukuwa na mipango yoyote zaidi ya kuwa karibu na kufahamiana pia nguvu ya mapenzi na mapenzi ya kweli ndiyo yameturudisha, haikuwa rahisi kama niliamua kummwaga niliyekuwa naye ili nirudiane na Nandy siwezi kuelezea kwa harakaharaka ila ilitokea sababu ya kuwa hivyo na sijutii kwa kilichotokea najua nipo sehemu salama

Aidha Billnass amesema tangu amerudiana na Nandy wanajiona wamekuwa, pia tangu warudiane hawajawahi kukorofishana hadi inafikia hatua ana-miss kugombana na Nandy.

Zaidi tazama kwenye mahojiano kamili hapo chini

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava