Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Billnass afunguka mahusiano ya Nandy na Dogo Janja

Jumamosi , 20th Jul , 2019

Msanii wa Rap kutoka kiwanda cha BongoFleva hapa nchini Billnass, amenyoosha maelezo kwa kile kinachoendelea katika mahusiano ya wasanii wenzake Nandy na Dogo Janja.

Nandy na Billnass

Billnass amefunguka hayo kupitia show ya Friday Night Live "FNL" ya East Africa Television, baada ya kuulizwa anajua nini kuhusu mahusiano na ukaribu wa Nandy na Dogo Janja.

"Kwa zamani mimi nimemkuta Dogo Janja na Nandy ni marafiki, kabla ya mimi kumfahamu Nandy tayari alikuwa na urafiki na Janjaro, kwahiyo sio mbaya hata wakiwa wapenzi kwa sababu hata Nandy sijui mahusiano yake na pia sijui kuhusu Dogo Janja, kwa hiyo hata wakiwa wapenzi ni vyema kwa sababu wote ni washkaji zangu, na sio wazo baya".

Aidha msanii huyo akaongeza kwa kusema kuwa yeye akiachana na mtu hawezi kumpangia au kutoa ruhusa ju ya mtu mwingine atakayetoka naye kwani watu wengi tu wanaishi na wapenzi wa zamani wa watu wengine na yeye hana donge wala wivu.

Ikumbukwe tu rapa Billnass na Nandy walikuwa katika mahusiano kipindi cha nyuma na pia zilishawahi kuvuja video na picha kwa wawili hao wakiwa faragha.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava