Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Billnass ashindwa kujizuia kwa Nandy

Ijumaa , 14th Feb , 2020

Kila ifikapo Februari 14 ya kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya wapendanao maarufu kwa jina la Valentine Day, ambapo watu hutumia siku hii kama kuzidisha upendo na thamani kwa wapenzi wao.

Picha ya Billnass kushoto, kulia ni Nandy na rafiki yake akiwa na sare za mwanafunzi

Moja ya njia hizo ambazo watu wanafanya kwa wapenzi wao katika siku hii ni vitendo zaidi kama kupeana zawadi, kupiga picha za kumbukumbu, kwenda matembezi na mwenza wako au kupostiana katika mitandao ya kijamii ili kuzidisha upendo zaidi kwao.

Kwa upande wa msaniii Billnass yeye ameonesha kunogesha mahaba kwa kupost picha ya zamani ya Nandy akiwa na mavazi ya sare za mwanafunzi, halafu akaandika neno la Kiingereza, ambalo kwa lugha ya kiswahili linasomeka kama "isiyo na thamani", kisha akaweka alama ya kopa.

Inasemakana wawili hao wamerudiana tena baada ya siku za hivi karibuni, kuonekana wakiwa pamoja usiku na kupostiana katika mitandao ya kijamii hasa wa Instagram, hali ambayo inawapa maswali mengi mashabiki zao japokuwa wao wamekuwa wanakana kwamba hawapo kwenye mahusiano.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava