Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichogundua Mabeste baada ya kusalitiwa na mkewe

Ijumaa , 17th Jan , 2020

Msanii wa HipHop Mabeste, amefunguka kwa kusema kati ya vitu vilivyosababisha aachane na aliyekuwa mke wake na mzazi mwenziye ni kumsaliti kwa kutembea na rafiki yake pamoja na kutokuwa na pesa.

Picha ya Mabeste akiwa na mkewe Lisa, enzi za mahusiano yao

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital, Mabeste amesema kuwa mzazi mwenziye ndiyo aliyeanza kumwambia kwamba waachane, jambo ambalo limemuumiza sana.

"Mimi na yeye tulikata hizo stori tangu mwaka jana, tulikuwa hatuongei na hata watoto hajawahi kuniletea niwaone nikimtumia ujumbe kuhusu familia yangu hanijibu, alinifata akaniambia tuachane nikakubali, mtu ambaye ameenda kuishi naye ni rafiki yangu ambaye tunafanya kazi" amesema Mabeste.

Aidha Mabeste ameendelea kusema "Siwezi kumtaja huyo rafiki yangu anayeishi naye kwa sasa ila ni muongozaji wa video 'Director', nilikuwa namuuliza kitu gani kinaendelea anakataa, mke wangu nilimpa uhuru sana, kumbe alikuwa akitoka Moshi kuja Dar analala kwa jamaa, mimi ananidanganya kwamba yupo kwa dada yake" ameongeza.

Cha mwisho amesema alichokigundua hadi imesababisha kuachana kwao  ni kuyokuwa na pesa za kutosha.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto