Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chanzo cha Cardi B kudai talaka kwa mumewe Offset

Jumatano , 16th Sep , 2020

Vyanzo mbalimbali za habari za burudani zimeripoti kuhusu madai ya rapa Cardi B kwenda mahakamani na kufungua file la kudai talaka kutoka kwa mumewe ambaye ni msanii wa kundi la Migos Offset.

Picha ya pamoja ya Offset na Cardi B

Cardi B ameomba shauri la kudai talaka hiyo kwenye Mahakama ya Kaunti ya Fulton iliyopo Jijini Atalanta na ameeleza kuwa kwa sasa wameachana na chanzo cha kudai talaka hiyo ni kuvunjika kwa ndoa pia hakuna matarajio ya kupatanishwa.

Mahakama imeamuru kuwa Offset anatakiwa kujibu shauri hilo ndani ya siku 30 na kama akishindwa kufanya hivyo basi hukumu itatoka dhidi ya rapa huyo ambaye ni mzaliwa wa Atalanta.

Aidha Cardi B ametaka usawa wa kugawana mali zote ambazo wamezipata wakiwa pamoja pia anatafuta misingi ya kumkuza mtoto wao Kulture mwenye miaka miwili, na amemtaka Offset kutoa huduma zote za mtoto huyo.

Cardi B na Offset wameishi pamoja miaka mitatu, walifunga ndoa ya siri Septemba 2017, na wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike anayeitwa Kulture mwenye umri wa miaka miwili.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava