Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chege azungumzia mgogoro na Temba

Alhamisi , 18th Jul , 2019

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Chege Chigunda, amenyoosha maelezo kuhusu kile kinachoendelea kwa sasa kwenye mitando ya kijamii, kuhusu yeye na msanii mwenzake wa siku nyingi, Mh.Temba.

Chege na Temba

Akipiga stori na EATV/Radio Digital juu ya taarifa za wawili hao wanatofauti kwa sasa, Chege amesema, “ni mipango tu ya kazi, kuna kufanya ngoma pamoja na kufanya 'collabo', hicho ndio kinachofanya watu waone tuna tofauti lakini hatuna tofauti yotote zaidi ya kubadilisha mfumo wa kazi, ila watu waki-miss tutafanya”.

Pia msanii huyo ameendelea kwa kusema, "hizo ni stori za watu, mimi ninavyoelewa siyo hivyo watu wanavyofikiria na wanavyoongea. Huwezi kumzuia mtu kuongea”.

Taarifa za wasanii hao kutokuwa pamoja zimekuja mara baada ya Chege kufuta picha zote alizowahi kupiga na Mh.Temba kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, na kutoonekana wakiwa pamoja kwa muda mrefu hivi sasa.

Chege na Temba ni wasanii na marafiki wa muda mrefu ambapo walikuwa katika kundi la TMK Wanaume Family lililokuwa na maskani yake Temeke, Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava