Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chid Benz ajibu tuhuma za kutokuwa sawa kiakili

Jumatatu , 14th Oct , 2019

Rapa Chid Benz amejibu madai ya watu wanaomsema kwenye mitandao ya kijamii kwamba anaropoka kupita kiasi kwenye baadhi ya mahojiano anayofanya pamoja na kutokuwa sawa kiakili.

Chid Benz

Chid Benz amesema hayo alipodakwa na EATV & EA Radio Digital, kwenye sherehe za miaka 12 ya Samaki Samaki Mlimani City, ambapo amesema yeye haropoki na hawezi kumzuia mtu anayemuandika vibaya kwenye mitandao ya kijamii.

"Sijawahi kuropoka, hakuna anayehisi au nani aliyewahi kukuambia maneno hayo nitajie nimfuate. Hakuna aliyeniambia kama nalopoka na kuna muda huwa nasoma maoni ya watu kwenye mitandao ya kijamii, hakuna ubaya kwa mtu akiongea mitandaoni", ameeleza Chid Benz.

Aidha Chid ameongeza kuwa, "siku zinakwenda na mitandao inasogea na kila mtu anatumia bundle lake, huwezi ukamkasirikia mtu ambaye yupo Tabata au Mikocheni akiwa na simu yake anamuandika Chid Benz mitandaoni, ambaye yupo kwenye simu na yule sio mimi maana sitoshi kwenye simu naingiaje humu", ameongeza.

Pia amewataka watu kutofautisha sana kati ya Chid Benz ambaye wanamuona kwenye simu zao kupitia mitandao ya kijamii na jinsi alivyo yeye kwa sababu kwenye simu anajulikana kama Chid Benz lakini kiuhalisia anajijua kama Rashid Abdallah Makwilo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava