Kutoka kushoto ni Chidi Benz, Harmonize, Alikiba na Diamond
Chidi Benz anasema wasanii hao wanatakiwa wawe na heshima ya ukweli ndani na nje pia waitumie vizuri mitandao yao ya kijamii sio kujiachia na kujisahau kisa wao ni mastaa.
"Hao ndio wasanii wakubwa, wanaosikika, wanaotamba, wana watu wengi kwenye mitandao yao na ndio wanaotuwakilisha wasanii wote, kitu ninachoweza kuwaambia na kuwashauri kwanza wawe na heshima ya ukweli, sio ile heshima wanapojua wanataka kampuni iwape pesa" ameeleza Chidi Benz
Zaidi mtazame hapo chini kwenye video.