Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'D. Janja hakuwa na maajabu kwa Uwoya' - Serinza.

Jumatatu , 28th Oct , 2019

Msanii chipukizi wa filamu nchini aitwaye Serinza, amesema alikuwa anamtamani kimapenzi Irene Uwoya, alipokuwa anaongea nae kwenye simu huku akiwa kwenye jakuzi wakati wanaigiza filamu yao ya "tah tah".

Serinza ameiambia EATV & EA Radio Digital, kuwa kipindi cha nyuma kabla ya kuigiza filamu moja na mrembo huyo, alikuwa anatamani mwanamke mwenye muonekano kama wa Uwoya.

"Kabla ya kufanya kazi na Irene Uwoya, nilikuwa natamani kuwa na mwanamke kama Irene Uwoya, hisia zilikuwepo tangu tunarekodi  hizo audio halafu tukaenda kwenye video, ila siwezi kuelezea kitu gani ambacho kilikuwa kinatokea pale kwenye jakuzi hata mimi mwenyewe nilisikia tah tah na hata ule utamu ulikuwa mulemule ndani " ameeleza Serinza.

Aidha Serinza amemkandia Dogo Janja, ambapo amesema hadhani kama aliipata tah tah ya Irene Uwoya kwa sababu alikuwa hana maajabu.

"Sidhani kama Dogo Janja alikuwa ameipata ile tah tah ya ndani nadhani hajaifikia, kama alikuwa mumewe mbona sasa hivi sio mkewe, kuna wakati wa kulima na kupanda, yeye kwake ulikuwa wakati wa kulima sasa hivi wenzake tunapandana, nahisi ukiwa na maajabu kwa mtu fulani unaweza ukawa hadi mwisho labda hakuwa na yale maajabu" ameongeza. 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava