Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dance 100% inarudisha hadhi ya wachezaji - Shetta

Jumatatu , 12th Oct , 2015

Msanii Shetta ambaye pia ni mmoja wa majaji wa mashindano ya Dance100% yaliyofikia finali zake siku ya jumamosi Tarehe 10 oktoba, amesema mashindano hayo yanarudisha hadhi ya wachezaji ambayo walikuwa nayo.

sheta ameyasema hayo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kueleza kwamba siku za nyuma wasanii wa kucheza walikuwa hawathaminiwi, lakini kutokana na mashindano hayo kuteka hisia za watu wengi, imesaidia kuwarudishia heshima na kubadilisha maisha yao.

"East Africa TV wanavyorusha shindano kama hili, uthamani unaongezeka kwa sababu mwanzo kabisa tulikuwa si tuna dance heshima ilikuwepo, lakini hapa kati ikaja ikavurugika dancer hana thamani na vitu kama hivyo, lakini hata sisi wasanii wakubwa tunavyo waalika Dancers tunafanya nao show, tunawapa ajira maisha yanabadilika", alisema Sheta.

Nao washindi wa mashindano hayo ambao ni kundi la WD, wamewataka vijana kuwa na uthubutu wa kufanya vitu na kutokata tamaa wakihofia kushindwa.

"Namshukuru Mungu baada ya kutajwa washindi wa Dance 100% 2015, kwa sababu tumeshiriki ndani ya miaka mitatu bila mafanikio, lakini mwaka huu tumechukua washindi wa kwanza, kitu tulichoangalia ni ubunifu, usikubali kufanya kitu ambacho mwenzako amefanya au mtu mwengine amefanya, kupigana kwamba usikubali kusema hiki kitu mi sikiwezi", alisema Omary ambae ni mmoja kati ya washiriki wa kundi la WD.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA