Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dau la Mzee Yusuph baada ya kurudi kwenye Muziki

Jumatatu , 3rd Aug , 2020

Mkali wa muziki wa Taarab Mzee Yusuph amesema shida ndiyo zimemrudisha kwenye muziki na ili aweze kufanya show kwa anayemuhitaji gharama yake ni Shilingi Milioni 7 kwa Mkoa wa Dar Es Salaam tu.

Mzee Yusuph amesema hakuwa na mipango yoyote ya kurudi kwenye muziki ila imetokea kwa sababu tu, na hakuna mtu yeyote aliyemshauri kurudi kwenye muziki.

"Kuna mtu anayefanya kazi kwa sababu ya raha, kila mtu anafanya kazi kwa sababu ya shida atataka kula au kulala, shida ndiyo inafanya sisi tuishi na tupigane, kama kuna mwenye raha halafu abaki nyumbani mwancheni alale tuone kama hatoondoka, hata ukiwa na mke huna chakumpa nayo ni shida hiyo" amesema Mzee Yusuph

"Kama kuna mtu ananitaka mwenye ukumbi wake kama anataka kunichukua labda awe na watu zaidi ya mia tano maana mimi pesa yangu ni kubwa , dau langu linaanzia Milioni 7 kwa mkoa wa Dar Es Salaam , zipo zingine hadi za Milioni 10 hadi 15" ameongeza

Zaidi tazama kwenye mahojiano kamili hapa chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava