Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dimpoz apangua maswali kibao Kikaangoni

Jumatano , 9th Apr , 2014

Msanii wa muziki ambaye nyota yake inang'ara ndani na nje ya mipaka ya Bongo, Ommy Dimpoz leo hii ametumbukia Kikaangoni Live kupitia kipengele cha ukurasa wetu wa facebook, ambapo wapenzi wa muziki na wapenda burudani wameweza kuchat naye live.

Ommy Dimpoz

Ommy Dimpoz ameonyesha mapenzi makubwa aliyonayo kwa mashabiki wake kwa kutumia muda wa saa mbili kujibu moja kwa moja maswali kibao ambayo mashabiki wake 'wamemkaanga' nayo.

eNewz baada ya kufuatilia zoezi zima kwa karibu tukakutana na Ommy Dimpoz na kumpima joto la Kikaango, ambapo msanii huyu amesema kuwa, amefurahia nafasi hii hasa ikizingatiwa kuwa ukurasa wake binafsi wa facebook uliingiliwa na kuibiwa na wezi wa kimtandao na hivyo kumkosesha nafasi ya kuwasiliana na mashabiki wake kwa njia hiyo.

Endelea kuwa sehemu ya familia kubwa ya wapenzi wa ukurasa wa facebook wa EATV, shiriki ukurasa huu na marafiki na Like pia kama bado hujafanya hivyo na kumbuka, Wiki ijayo tunakuletea staa mwingine mkali ambaye utachat naye moja kwa moja.

kufuatilia maongezi ya Dimpoz na mashabiki wake Kikaangoni, fuata link hii https://www.facebook.com/eatv.tv/photos/a.159892260691867.39844.15730328...

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto