Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Dogo Janja ni miongoni mwa wanafiki" - Edu Boy

Ijumaa , 20th Apr , 2018

Msanii wa Hip Hop anayewakilisha Jiji la Mwanza, Edu Boy amefunguka na kumchana Dogo Janja kuwa katika wasanii aliosema ni wanafiki naye ni miongoni mwao kwa sababu ameshindwa kuweka wazi jambo watu aliokuwa amekaa nao na kuzungumza sakata la Nandy la kusambaa video za utupu mtandaoni.

Edu Boy ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kinachorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV baada ya kupita siku kadhaa tokea Dogo Janja ku-post katika ukurasa wake wa kijamii kuwa anasikitishwa na tabia ya baadhi ya wasanii kupenda kuwaona wenzao wanapatwa na majanga ili waporomoke kisanaa.

"Mtu kama Dogo Janja sio kama alikuwa hajui, alikuwa anafahamu vizuri sana sema ule ujasiri wa yeye kuamua na kusema ni kweli wasanii wengi tunaishi kinafiki ndio alikuwa hana. Ila vilevile katika watu wanaoishi kinafiki naye yumo ndani yao kwasababu aliongelea suala la Nandy halafu akashindwa kuwaweka wazi hao watu alikuwa amekaa nao kuzungumzia jambo hilo", amesema Edu Boy.

Mtazame hapa chini Edu Boy akifunguka mengine zaidi..

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava