Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dokii aeleza sakata la Harmonize kumsaidia Mavoko

Jumatatu , 13th Jul , 2020

Baada ya maswali kuwa mengi kuhusiana na ukimya wa muda mrefu wa msanii Rich Mavoko, EATV & EA Radio Digital imepiga stori na Dada wa msanii huyo Dokii na amenyoosha maelezo kuhusu ukimya wa Mavoko na kusaidiwa na Harmonize.

Msanii Rich Mavoko upande wa kulia, kushoto ni dada yake Dokii

Kuhusu ukimya wa msanii Rich Mavoko Dokii ameeleza kuwa  "Hata kama haonekani wamuache atulie, kama kuna tatizo wao watamsaidia nini, waache wakisikia tatizo kuhusu Mavoko ndiyo waniulize ila kwa sasa kila kitu kipo sawa, waache wawe na shauku ya kumuona hadi pale atakapotoka kuna vitu vizuri vinakuja".

Aidha akizungumzia suala la Harmonize kutaka kumsaidia Rich Mavoko kupitia post aliyoweka katika mtandao wa Instagram siku kadhaa zilizopita, Dokii amesema "Ilikuwa ni jambo zuri kama limetoka moyoni mwake, ulikuwa ni ujumbe mzuri na niliufurahia kwa sababu anajua anachofanya, Harmonize hajafanya jambo baya".

Zaidi tazama hapa chini kwenye video.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava