Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dorah ajibu madai ya kudate na KibenTen

Jumapili , 6th Oct , 2019

Muigizaji wa Tamthilia hapa nchini ajulikanaye kwa jina la Dorah,amesema kuwa mwanaume aliyekuwa naye kwa sasa kwenye mahusiano amemzidi kiumri, ambapo mpenzi wake huyo ana miaka 23, huku yeye akiwa na umri wa miaka 2.

Dorah ametoa kauli hiyo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Kikaangoni kinachoruka kila siku ya Jumatano kupitia kurasa za Facebook na Youtube za East Africa TV, na kumtaja jina la Edson ambaye kwa sasa bado ni mwanafunzi wa chuo.

"Kwa sasa mpenzi wangu anamiaka 23 na mimi nina miaka 24 na nilianza naye nilipokuwa nimemaliza kidato cha nne, kifupi huyu ni mpenzi wangu wa kwanza, na mtu akisema nambemenda atakuwa ameamua yeye tu kusema" amesema Dorah.

Aidha Dirah ameongeza kuwa,"kingine kwa sasa anasoma Iringa, mwingine akisema mimi natoka na Kibenten bado simkatazi, kwa sababu atakuwa ameamua yeye"

Tazama mahojiano kamili

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto