Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dude aijibu kauli ya Makonda

Jumatano , 17th Jul , 2019

Msanii wa muda mrefu kutoka tasnia ya Bongo Movie hapa nchini Tanzania Kulwa Kikumba maarufu kama "Dude", amefunguka kuhusu kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuwa wasanii wengi ni ombaomba.

Kulwa Kikumba (Dude)

Dude amesema hayo leo kwenye mahojiano na EATV & EA Radio Digital, ambapo amekiri kuwepo kwa kundi la watu wanaojiita wakati wana kazi moja tu na muda mwingi wanatumia kufanya mambo yasiyofaa.

"Unajua kila aliyeshiriki kazi ya sanaa anajiita msanii, ila mimi naamini kwa wasanii wakongwe au ambao wamejikita zaidi kwenye sanaa hawawezi kuwa ombaomba, sio kuombaomba tu hata kuna mambo ya kijinga yanafanyika kwa wasanii tunaambiwa kuna wanaojiuza. Mtu akicheza filamu moja au akionekana kwenye tamthilia moja anajiita msanii ndio hao wanatupakazia watu wote".

Dude ameongeza kuwa anajua wasanii wanajiheshimu na wanauwezo wa kutafuta pesa zao. ''Napenda tu kumwambia mheshimiwa, wako baadhi ya watu wanaotuchafua, wanashiriki katika mambo ya ajabu kama kuvuta unga na wizi, kwa hiyo ndio hao wanatufanya sisi tuonekane wabaya."
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava