Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Esha Buheti afunguka kuhusu ajali aliyoipata

Jumanne , 14th Jan , 2020

Msanii wa filamu na mfanyabiashara Esha Buheti amesema anasikitika sana kwa habari zianazoendelea kuhusu ajali aliyoipata pia yupo tayari kuongea na waandishi wa habari juu ya suala hilo pamoja na issue ya utapeli.

Gari ambayo amepata nayo ajali Esha Buheti

Kupitia katika ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Esha Buheti amepost picha ya gari ambayo amepata nayo ajali katika daraja la Wami mkoani Tanga ambapo ameandika "Ahsanteni kwa  message zenu na simu nyingi sana nimezipata ila kwa sasa kicha kinauma sana, ni kweli tumepata ajali ila tumetoka salama alhamdulillah"

Aidha muda mfupi uliopita kupitia mtandao huohuo wa Instagram amepost video fupi ya gari alilopata nalo ajali likiwa limebebwa na kuandika,

"Tunaanza safari ya kurudi Dar, nasikitika sana kwa habari zinazoendelea kuhusu ajali hii, nimekaa kimya sana ila muda wa kuongea umefika, nimechoka kwenye maisha yangu sijawahi kumtapeli  wala kumuibia mtu"  ameandika

Mimi sio mtu wa maneno maneno ndiyo maana kwenye maisha yangu nipo kivyangu na kazi zangu, nimekaa kimya sana ila imezidi mara naishi maisha ya uongo, mara nimemkuwadia mtu mwanaume na nipo tayari kuongea na waandishi wa habari muda wowote" ameongeza 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava