Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EXCLUSIVE : Nandy aeleza mipango ya ndoa yake

Ijumaa , 17th Jan , 2020

Msanii wa kike anayefanya vizuri kutoka BongoFleva Nandy, amepiga stori na EATV & EA Radio Digital na kueleza mipango yake ya ndoa, pia amefunguka sababu zinazofanya wasanii wengi wa kike wasiingie kwenye ndoa.

Picha ya msanii Nandy

Kupitia post yake aliyoweka katika mtandao wa kijamii wa Instagram, Nandy ameandika anatarajia kuwa mke wa mtu ambapo ameeleza "Kila mwanamke anastahili ndoa, wakati wa Mungu ni wakati sahihi sijui nitaolewa na nani aidha msanii au la ila tuombeane uzima nitaingia huko mwaka huu au mwakani" amesema Nandy. 

Aidha akizungumzia kuhusu sababu zinazofanya wasanii wengi wa kike wasiingie kwenye ndoa, Nandy amesema wanawake wengi wanapanga mipango yao ya baadae kutokana na ratiba na kazi ambazo wako nazo.

"Sidhani kama sisi ni wagumu kuingia kwenye ndoa ila watu hawaingii kwenye viatu vyetu, hamjui ambayo yapo kwetu kuanzia ratiba, kazi ambazo tunazo sio kama hatuingii ila sababu ni kupanga mipango ya baadae ila siwezi kuwaongelea wengine kwa mimi sio muda mrefu nitaingia kwenye ndoa" ameeleza Nandy.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava