Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fetty Sley amtolea mfano Mr Nice

Jumapili , 20th Sep , 2020

Msanii wa zamani wa BongoFleva Fetty Sley amefunguka kuhusu ujio wake mpya, kupotea kwake, tofauti ya muziki wa zamani na wa sasa, pia amemtolea mfano msanii aliyetamba zamani Mr Nice.

Wasanii wa BongoFleva Fetty Slay na Mr Nice

Akifunguka hilo kwenye show ya Friday Night Live ya East Africa TV, amesema muziki unakwenda na muda ndiyo maana zamani alikuwepo msanii kama Mr Nice ambaye alifanya vizuri na sasa hayupo, pia zamani hawaku-enjoy muziki kabisa kwa sababu waliufanya tofauti.

"Mr Nice ni mfano mzuri wa neno muziki ni muda, alikuwepo na sasa hayupo ila kitu kilichofanya nipotee kwa muda ni maisha nje ya muziki, kuna vitu vingi vya kufanya ndiyo maana baada ya kutulia nimerudi tena, naweza nisiwike sasa hivi ila baadae nikawika" amesema Fetty Sley

Pia ameendelea kusema "Zamani haikuwa rahisi kabisa ku-enjoy muziki kwa sababu tulifanya muziki kama kazi ila sasa ni biashara na bado inakuwa ngumu kutoboa kutokana na muda na mabadiliko katika tasnia".

Zaidi tazama hapa chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto