Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

G Nako afunguka hatma ya Nikki wa Pili

Jumatatu , 21st Jun , 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge amemuapisha msanii Nickson Simon maarufu kama Nikki wa Pili kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe ambapo amechukua nafasi ya Jokate Mwegelo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.

Kutoka kushoto ni Lord Eyes, Nikki wa Pili, Joh Makini na G Nako

Baada ya kuapishwa kuwa mkuu wa wilaya kuna baadhi ya maswali yamekuwa yakiulizwa kuhusu hatma yake ya ushiriki kwenye Kampuni ya Weusi ambapo G Nako amefafanua hilo kwa kueleza kuwa.

"Taarifa ya kuteuliwa kwa Nikki niliifahamu baada ya mkeka kutoka, sikuwa na taarifa kabla teuzi sasa hivi itakuwa mapema sana kuzungumza kama kutakuwa na mabadiliko baada ya Nikki kupata majukumu ya Kiserikali lakini mabadiliko yatakuwepo kwenye muziki wa Weusi"

Tukio hilo la kuapishwa kwa Nikki wa Pili limefanyika leo Juni 21, 2021 kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani iliyopo Kibaha na alisindikizwa na mama wa mtoto wake Joan Temu 'Mama Zuri' na wasanii wenziye wanaounda Kampuni ya Weusi Joh Makini, G Nako Warawara na Lord Eyes.

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi