Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gigy adai kumuona Mwijaku na Menina Tanga

Jumanne , 29th Oct , 2019

Msanii wa muziki na uigizaji Bongo Gigy Money, ameonekana kumkingia kifua Menina Tz kwa kusema picha na video zilizovuja mitandaoni, kuna mtu alifanya makusudi na anamuhisi Mwijaku kwa sababu aliwaona wakiwa wote katika mapozi ya mahaba mkoani Tanga.

Gigy Money ameeleza hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, baada ya kupost video fupi kupitia 'Insta Live' ya mtandao wa kijamii wa Instagram, akionekana akiwaponda watu wanaoshadadia tukio hilo la kuvuja kwa picha na video hizo.

"Kama nisingekuwa mimi hakuna staa yeyote angeongelea suala la Menina, mbona hawakuongea za Amber Rutty au Nandy hata msamaha aliomba, hakuna mtu anayeweza kupost vile kwa sababu anatafuta kiki, wasipende kumshambulia mtu maana hii mitandao inaweza ikampa mtu msongo wa mawazo au kumpotezea mtu maisha" amesema Gigy Money.

Aidha Gigy ameongeza kuwa, "Hii ni kweli naongea hapa mbele ya kamera nilishawahi kuwaona Mwijaku na Menina Tanga, wakiwa katika gari hata zile video na picha zimevujishwa sidhani kama ni yeye, hawezi kufanya kitu kama kile, hata kutoka kwao kazi maana kuna dini sana, ameacha muziki kwa ajili ya familia yake".

Gigy Money ameendelea kusema, hata alivyosikia Mwijaku amevujisha zile video, alijisikia vibaya kwa sababu aliwaona wakiwa katika mahaba mazito na kama watu wanasema Mwijaku amesambaza video basi ni kweli. 

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava