Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gigy Money aitwa kuombewa na mtumishi wa Mungu

Ijumaa , 20th Nov , 2020

Mtumishi wa Mungu na msanii wa zamani wa filamu Asnath Mathias amesema anatamani kumuombea msanii Gigy Money kutokana na vitu vyake vya ajabu anavyovifanya mitandaoni na jinsi anavyozungumziwa kwa watu.

Mtumishi wa Mungu Asnath Mathias

Mtumishi huyo wa Mungu amesema Gigy Money ni mwanamke mzuri sana ila hapendezewi na maisha aliyokuwa nayo na amemshauri amuombee ili aanzishe maisha mapya, atulie na ajiheshimu.

"Kuokoka sio kuwa na shida na mtu bali ni kuacha mambo ya kidunia na kufanya kitu ambacho kitampendeza Mungu, Gigy Money ni mwanamke mzuri mno atambue hilo lakini ukifungua mitandao lazima utamuona na unaona vitu vya ajabu ambavyo anavifanya na watu wanavyomzungumzia" amesema

"Anaweza akaanzisha maisha yake mapya ili atulie, ajiheshimu na aijue thamani yake kama mzazi na mwanamke, anaweza asiamini ila naweza kumuombea kwa Mungu kumpa neema ya kubadilika" ameongeza

Aidha amesema anatamani kuwaona wasanii wa BongoFleva kama Lady Jaydee na Ruby kuimba nyimbo za Injili kwani zinawafaa na zitawapendeza.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine