Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Harmonize ampa shavu Abella ngoma mpya 2021

Jumapili , 3rd Jan , 2021

Msanii wa Bongofleva ambaye hivi sasa anatamba na ngoma yake ya Wapo, Harmonize, amerejea nchini leo Januari 3, 2021 akitokea Ghana na moja kwa moja akaahidi kuwa usiku wa leo atarekodi ngoma yake ya kwanza mwaka huu akimshirikisha mwimbaji Abella.

Harmonize (kulia) na Abella (kushoto)

Harmonize akiwa nje ya nchi jana Januari 2, 2021, alitangaza kutafuta mwimbaji wa kike ili amshirikishe kwenye ngoma yake hiyo na baada ya mapendekezo ya watu alitangaza kumtafuta mwimbaji wa nyimbo za kurudia 'Cover', aitwaye Abella na alifanikiwa kumpata.

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

A post shared by KONDEBOY (@harmonize_tz)

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Harmonize amethibitsha kuwa amerejea nchini leo na usiku anakutana na Abella kwaajili ya kurekodi audio ya wimbo huo.

Abella ambaye ana ulemavu wa mguu amejizolea umaarufu mtandaoni kwa kurudia nyimbo za wasanii mbalimbali huku wengi wakisifia uwezo wake mkubwa pamoja na sauti ya kuvutia.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava