Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Harmonize amuomba msamaha mke wake 'live'

Jumamosi , 16th Mei , 2020

Msanii na mmiliki wa lebo ya Konde Music Worldwide 'Harmonize' amelazimika kumuomba msamaha mke wake Sarah kutokana na kutomuelewa hasa kwenye masuala ya kazi.

Harmonize na mke wake Sarah

Harmonize amesema hayo kwenye Friday Night Live (FNL) ambapo amesema kuwa mara nyingi mke wake amekuwa hamuelewi ni kwanini hatumii muda mwingi kuwa naye, akisema kuwa ni kwa sababu ya kazi.

"Napenda kumshukuru Mungu kwa baraka zake, Management yangu na wazazi wangu lakini pia mke wangu anisamehe kwa kumsahau, yeye ni mtu wa muhimu sana kwangu", amesema Harmonize.

"Muda mwingine amekuwa akinilalamikia kwanini narudi usiku sana nalala na naamka saa nne nimemuacha amelala ninaenda kazini, kwahiyo tumepitia sana changamoto hizo lakini nitumie nafasi hii kumuomba msamaha, nimampenda sana mke wangu. Ninafanya hivi kwa sababu nina ndoto kubwa nataka niitimize", ameongeza.

Harmonize hivi sasa anaitangaza albamu yake ya 'Afro East' pamoja na Extended Playlist (EP) ya msanii wake Ibraah inayoitwa 'One Step' ambayo ina ngoma tano.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto