Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Hata pesa imeshindwa kutugombanisha"-Oka Martin 

Ijumaa , 17th Jan , 2020

Wachekeshaji wawili wanaofanya vizuri mitandaoni, Oka Martin na Official Carpoza, wamesema hawajawahi kugombana kwenye maisha yao na urafiki wao hauwezi ukafa kwa sababu ya pesa au mapenzi.

Wachekeshaji Oka Martin upande wa kushoto,kulia ni Official Carpoza

Wakipiga stori na EATV & EA Radio Digital wameeleza kuwa, wao sio rahisi kugombana japokuwa huwa kuna kupishana kauli za hapa na pale ila wanawekana sawa maisha yanaendelea.

"Hatujawahi kugombana na sio rahisi na kingine hata pesa pia imeshindwa kutugombanisha, kwa sababu mimi ninaweza nikawa na pesa na yeye akalijua hilo, lakini naweza nikamuomba nizitumie pesa zake na bado akanipa" amesema Official Carpoza.

Aidha kwa upande wa Oka Martin ameongeza kusema "Huwa hatugombani ila tunapishanaga kauli  kwa sababu mmoja wetu anaweza akawa ameamka na mood mbaya ila uzuri ni kwamba tunafahamiana, kuna wakati ni kweli unakasirika na unashikwa na kitu ila tunaambiana tuache ujinga tunanuniana kwa sababu gani".

Pia wamesema walianza kuwa marafiki na wasanii wa muziki, kabla ya kuingia kufanya vichekecho ambavyo ndiyo vimewatambulisha zaidi kwa watu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava