Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatma ya ndoa ya Irene Uwoya kujulikana

Jumamosi , 26th Oct , 2019

Baada ya kuwa na kitendawili alichokuwa anakiweka Irene Uwoya kupitia mtandao wa Instagram inayosema kuhusu tarehe 26 Oktoba, sasa imejulikana kuwa ni ndoa kutokana na tetesi zinazoendelea katika mitandao ya kijamii.

Irene Uwoya na anayedaiwa kufunga naye ndoa

Muda mchache uliopita katika mtandao wa Instagram, baadhi ya mastaa waliposti picha ya Irene Uwoya na mwanaume mmoja wakiwa wamevalia mavazi yanayomaanisha wanafunga ndoa yaani 'suti na shela'.

Mastaa walioandika ni pamoja na Irene Paul, ambaye amesema, "sijaalikwa na kadi sijapewa, naelewa kiutu uzima lakini Irene Uwoya nakutakia mafanikio mema mama, kapanga Mungu , sijashuhudia lakini picha naiona sasa mimi nani kupinga?. Bado tunataka kujua leo ni 'after party' ya ndoa, ni kuringishiwa cheti au hiyo suti na sura? au ni dinner au ni nini kukoma leo tutakoma 26.10, i saved the date". 

Naye muigizaji Duma ameandika, "hongera sana mama Irene Uwoya" .

Alipotafutwa mmoja ya watu wake wa karibu, akasema kuwa masuala yote yanayoulizwa na kuzunguka vichwani mwa watu yatajulikana hii leo kwenye hafla maalumu ambayo Irene Uwoya ameiandaa.

Siku ya leo, Irene Uwoya amealika vyombo vya habari, mastaa na baadhi ya watu kuhudhuria katika hafla yake itakayofanyika katika moja ya hotel iliyopo Posta Jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine