Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

HK ataka Snura na Shilole wayamalize

Alhamisi , 30th Mar , 2017

Meneja wa Msanii Snura, HK amesema yeye pamoja na msanii wake hawana 'bifu' na Shilole huku akidai wapo tayari hata kufanya naye kazi ya pamoja endapo atakuwa anahitaji katika hilo.

Hayo yamekuja baada ya tetesi za muda mrefu zikiwahusisha wadada hao wawili kwa kile kilichowaaminisha mashabiki katika nyimbo zao kujawa mafumbo huku wengine wakiyatafsiri ndivyo sivyo.

"Mimi nafikiri bifu ya Shilole na Snura zinatengenezwa na mashabiki wenyewe kutokana hawa wote walitoka kwenye bongo muvi wakaja kwenye bongo fleva, alianza Shilole akaja Snura. Wote wakatusua katika kipindi kimoja, yule ametoa 'Paka wa Baa' ina-hit kule Snura anatoa 'Majanga' nayo ina-hit kwa hiyo wakakutana katika 'game' watu wakawa wanafananisha kulingana na walipotoka lakini siyo wana bifu mpaka inafikia hatua hawaongei siyo kweli". Alisema HK katika kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV.

HK

Aidha meneja huyo amesema ameshawahi kuwaona mara nyingi wanadada hao wakiwa pamoja wanasalimiana na kuongea.

Kwa upande mwingine HK amesema yupo tayari yeye na msanii wake kufanya kazi pamoja na Shilole endapo atakubali muda wowote milango ipo wazi katika suala hilo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava