Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Huwa nashika simu yake, nalea"-T Bway

Ijumaa , 27th Mar , 2020

Mtangazaji wa kipindi cha 5 Selekt ya EATV, T Bway 360, amesema ni kweli anapenda sana sterehe pia ametoa onyo kwa wale wote wanaommendea mpenzi wake Kim Nana.

Akiiambia EATV & EA Radio Digital , kuhusu kupenda starehe na kula bata amesema anautumia vizuri muda wa ujana wake kwa sababu hata akizeeka asijutie kile alichokifanya enzi za ujana.

"Ni kweli napenda kuishi maisha ya starehe kwa sababu maisha yanakwenda kasi sana hapo kuna uzee na ujana unapita, kwa nini nisiishi maisha ya ku-enjoy ili nijivunie kuishi hivyo, siyo baadaye nikizeeka niyatamani tena, mimi ni mtu wa bata, nakula bata na hata kazi yangu inauhusiano na bata" amesema T Bway

Pia T Bway amezungumzia ishu ya kutoa onyo kwa  watu wanaommendea mpenzi wake Kim Nana ambaye ni mzazi mwenziye kwa sasa ambapo amesema   "Huwa nashikaga simu yake kuna muda hata yeye ananiambia kuna mtu flani kama  amemfuata DM anamtaka, ninachotaka kuwaambia wajue tu kwamba sasa hivi ni mzazi, ana mtoto na mimi na analea

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava