Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Irene Uwoya amfungukia Dogo Janja

Jumapili , 9th Dec , 2018

Msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya ambaye amewahi kuwa mke wa mwanamuziki Dogo Janja, amesema kuwa anachokifanya msanii huyo kwa sasa ni kizuri na kinatakiwa kiendelezwe ikiwa ni katika kurudisha msaada kwa jamii yake.

Msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya, akiwa na Dogo Janja.

Uwoya amezungumza hayo katika uzinduzi wa filamu mpya ya msanii mwenzake, Gambo Zigamba ambapo amesema kuwa suala la kutoa misaada kwa jamii ni jambo jema na ambalo linatakiwa kuwekewa muendelezo.

"Ni kitu kizuri kufanya vile maana inarudisha fadhila kwa mashabiki, na anatakiwa kuendeleza zaidi na zaidi", amesema Uwoya.

Mbali na Dogo Janja kumkabidhi mama yake mzazi nyumba aliyomjengea, pia alirudi kwenye shule ya msingi aliyosoma jijini Arusha, shule ya msingi Ungalimited na kutoa ndoo ishirini za rangi pamoja na kukarabati shule hiyo kwa kuezeka mabati.

Ikumbukwe kuwa wawili hao walikuwa kwenye mahusiano ambayo yalipelekea hadi kufunga ndoa, lakini siku za karibuni ukaribu wao umepungua ambapo inasemekana kuwa wameachana kutokana na kila mmoja kufanya mambo yake mwenyewe.

Hakuna kati yao aliyethibitisha kuachana kwao lakini Irene Uwoya hivi karibuni aliwahi kusema kuwa hakuwahi kubadili dini na kuwa Muislamu, hali inayoonesha kuwa mapenzi yao sasa yamefikia mwisho.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto