Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jacqueline Wolper afunguka kuhusu kudanga

Jumatatu , 2nd Sep , 2019

Staa wa filamu Jacqueline Wolper, amefunguka kuhusu suala la kudanga kwa wanawake, na 'issue' za kutumika kwa warembo katika tasnia ya filamu.

Jacqueline Wolper

Jacqueline Wolper ameeleza hayo wakati wa uzinduzi wa filamu ya Siyabonga ya msanii Gabo Zigamba, uliofanyika Mlimani City, Jijini Dar es salaam.

Kuhusu suala la kudanga Wolper ameiambia EATV & EA Radio Digital kuwa, ''mimi ndiyo tayari nilishawahi kudanga, kwa kawaida kudanga ninavyoijua na nivyoielewa maana yake ni kuwa na mahusiano na mwanaume mwenye pesa, hiyo maana nyingine wanayoijua wao mimi siijui".

Aidha Wolper ameendelea kuzungumzia suala la wanawake wakiwa warembo wanaingia katika filamu bila ya kuwa na kipaji.

"Tunawalaumu watayarishaji na waongozaji wa filamu maana wanataka kuwakaza halafu ndiyo wawape majukumu, kama mtu amechukuliwa kwa ajili ya urembo na sanaa yake haijulikani hawezi kuendelea kupewa kazi".

Pia amesema wanawake hao wanaishia kuchezewa na kutumiwa hawawezi kuchukuliwa na watu wenye taaluma zao.

Mwisho amemaliza kwa kusema uzuri na ubaya wa tasnia ya filamu huwa ni kazi moja huanzisha nyingine.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji