Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jay Z azamia katika bangi

Jumatano , 10th Jul , 2019

Mwana HipHop bilionea zaidi duniani Jay Z, sasa ameingia rasmi ubia na kampuni ya utengenezaji na uzalishaji wa biashara ya bangi iitwayo Caliva.

Msanii Jay Z

Jay Z amepewa nafasi ya mkurugenzi mkuu katika mipango mikakati ya kuiendeleza kampuni hiyo , na ameingia ubia huo wa kufanya nao kazi kwa mwaka mzima.

Katika nafasi hiyo Jay Z atakuwa anasaidia masuala ya ubunifu, maamuzi , juhudi za ufikiaji malengo na mikakati. Pia atakuwa ana dili na haki za kijamii kwenye mambo ya kuhahalilsha bangi, ikiwa pamoja na utetezi, mafunzo ya kazi, kuajiri wafanya kazi, na kufanya kazi kwa maendeleo.

"Nafanya kitu chochote, nataka nifanye kazi kwa usahihi katika ngazi za juu, uwezo wangu wote katika sekta hii ya biashara ya bangi, jitihada bora za kitaalamu katika ushiriki huu, tunataka kubuni kitu cha kushangaza, na kufanya vizuri ili kuleta watu katika njia" amesema Jay Z.

Jay Z sio mwana Hiphop wa kwanza kuingia kufanya biashara hii ya bangi wengineo ni Uncle Snoop Dogg, Wiz Khalifa, 2 Chainz Ty Dolla Sign na Ray J wote hawa na wana kampuni zao za utengenezaji na uzalishaji wa biashara ya bangi. 
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali