Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya Mama la mama kuzinduliwa leo

Jumamosi , 1st Mei , 2021

Kuelekea siku ya mama duniani Kampuni ya East Africa TV inazindua rasmi Kampeni ya Mama la mama ambayo ni inahusu kusheherekea kazi kubwa wanazozifanya wakina mama kwenye familia zao.

Picha ya baadhi ya wafanyakazi wa kike kutoka East Africa TV wakiwakilisha Mama la mama

Kampeni hiyo itazinduliwa leo Mei Mosi Samaki Samaki Mlimani City na itakuwa inashirikisha wananchi mbalimbali kueleza kwanini anahisi mama yake anastahili kuwa mama la mama ambapo mshindi atapata zawadi za thamani.

Baadhi ya zawadi zitakazotolewa kwa washindi wa kampeni hiyo ni Tsh Milioni 1 ambayo itaingizwa kwenye Akaunti ya UBA na jiko la kupikia la kisasa lenye thamani ya Tsh Laki 7 kutoka Jaden Home Store.

Zawadi zingine ni king'amuzi cha  DSTV na malipo ya kifurushi cha juu cha Premium , bidhaa za urembo kutoka Atsoko zenye thamani ya Milioni, Sabuni za OMO, pamoja na chakula cha mchana na watoto wake kwenye hoteli ya Levant iliyopo Masaki Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji